Shikanda ahifadhi uenyekiti wa AFC Leopards
Dkt Dan Shikanda amehifadhi kiti cha uenyekiti wa klabu ya AFC Leopards kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo kwenye uchaguzi ulioandaliwa Jumapili katika uwanja wa Kasarani. Shikanda ambaye atahudumu kwa muhula wa pili na wa mwisho alizoa jumla ya kura 429 dhidi ya mpinzani wa...