Home Podcasts Matukio ya Taifa: Wanafunzi wa Vyuo Vikuu kupokea HELB moja kwa moja

Matukio ya Taifa: Wanafunzi wa Vyuo Vikuu kupokea HELB moja kwa moja

Wanafunzi wa vyuo vikuu nchini sasa wataanza kupokea mgao wao wa HELB moja kwa moja kinyume na awali walivyokuwa wakizipokea kupitia vyuo vikuu; watu wasiojulikana wamevamia familia moja na kumnajisi msichana wao wa umri wa 14 katika kijiji cha Kajoro kaunti ndogo ya Namable huko Busia.

Channel 1
Website | + posts
kiico