Home Podcasts Matukio ya Taifa: Polisi waliopuuza ripoti zilizohusu Paul Mackenzie kuchukuliwa hatua

Matukio ya Taifa: Polisi waliopuuza ripoti zilizohusu Paul Mackenzie kuchukuliwa hatua

Maafisa wa polisi katika eneo la Lango baya kaunti ya Kilifi waliopuuza ripoti zinazohusu shughuli za kutatanisha za Mchungaji Paul Mackenzie katika msitu wa Shakahola watachukuliwa hatua.

Waziri wa Usalama wa Ndani Prof Kithure Kindiki alisema kuwa serikali itashughulikia kesi hiyo kuanzia wakati Mackenzie alikamatwa mwaka wa 2017.

kiico

Previous articleNewsline: Police who ignored reports on Pastor Mackenzie to be held responsible
Next articleTwitwe ita: Utwi wa koti yiulu wa Mwiao wa Kinandu wa mwaka wa 2023