Home Podcasts Matukio ya Taifa: Waalimu 37 na Polisi 30 wauawa na Alshabaab tangu...

Matukio ya Taifa: Waalimu 37 na Polisi 30 wauawa na Alshabaab tangu 2013

law
Interior Cabinet Secretary Kithure Kindiki

Takriban walimu 37 wameuwawa na magaidi wa Alshaabab na maafisa 30 wa Polisi tangu mwaka 2013. Akitoa takwimu hizo Waziri wa Usalama wa Ndani Prof Kithure Kindiki, anasema wanamgambo wa Alshaabab wamekuwa tatizo kuu kwa usalama wa wakenya hasaa wanaoishi katika kaunti zilizoko mipakani mwa Kenya na Somalia.

kiico
Previous articleBrace for El Nino from October, warns MET
Next articleNewsline: 60 Alshabaab involved in yesterday Lamu attack killed