Matukio ya Taifa: Watu sita wajeruhiwa Lamu baada ya shambulizi la kigaidi

KBC Digital
0 Min Read
Interior CS Kithure Kindiki

Watu zaidi ya sita wamejeruhiwa kufuatia shambulizi la kigaidi eneo la nyongiro katika barabara ya witu kuelekea Garseni alfajiri ya kuamkia leo.

- Advertisement -
kbcplus.co.ke #worldcupikokbc
TAGGED:
Share This Article